Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC Tanzania Mohammed Dewji jana alikutana na wachezaji pamoja na benchi la ufundi kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu timu hiyo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC Tanzania Mohammed Dewji jana alikutana na wachezaji pamoja na benchi la ufundi kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu timu hiyo.