Diamond ajibu mahusiano yake na Nandy, Kupitwa na Harmonize kimuziki.

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amefunguka ishu kibao kwenye mahojiano na kueleza mahusiano yake kwasasa na Nandy, kupitwa kimuziki na Harmonize, Wasafi FM&TV kufunika Dar na kukodi Helikopta Mil. 31 kwa saa mmoja. Fungua kipengele cha video kuona maojiano yake.

Leave a comment